SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, January 31, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AAGANA NA WAZIRI MKUU WA FINLAND BAADA YA KUMALIZA ZIARA YAKE NCHINI

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri Mkuu wa Finland, Jyrki Katainen, wakati alipokuwa akiagana naye kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Waziri huyo ameondoka jana usiku kurejea nchini kwao baada ya kumaliza ziara yake ya siku tatu nchini

MSIMAMO WA LIGI KUU YA UINGEREZA

NEW_EPL_c111e.png

Taarifa na Picha ya Mbunge Gekul: Kushambuliwa na Mkurugenzi na M/Kiti wa Halmashauri

 Taarifa ya kushambuliwa na mkurugenzi wa halmashauri na mkiti wa halmashauri  
 
 Ndugu zangu wana babati 

Leo kulikuwa na Kikao cha kawaida cha mipango miji

VIDEO:MWANAMKE AMCHANA KWA VIWEMBE MFANYAKAZI WAKE WA KIKE WA NDANI!



Dunia hii inaelekea wapi? Huku tukiendelea kupiga vita dhidi ya ukatili kwa wanawake, kuna wanawake wengine ndio wanaoongoza ukatili huo. Shuhudia stori hii ya huyu mwanamke katili aliyemchana chana kwa viwembe mtoto wa kike ambaye ni mfanyakazi wake wa ndani. Taarifa hii ilirushwa kwenye kipindi cha Wanawake Live cha Joyce Kiria.

KIPANYA LEO

Washindi wa Airtel ‘Mimi ni Bingwa’ warejea kutoka Old Trafford

Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jackson Mmbando (katikati) akifurahia jambo pamoja na washindi wa tiketi wa promosheni ya Airtel Mimi ni Bingwa mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam baada ya safari yao iliyogharamiwa kila kitu ya kwenda Old Trafford kuangalia mechi moja kwa moja kati ya Manchester United na Cardiff City iliyochezwa Jumanne usiku.

RONALDO: SOKA INAMHITAJI FALCAO KWENYE KOMBE LA DUNIA 2014, NAMUOMBEA APONE HARAKA"


Cristiano Ronaldo amemtakia kheri mpinzani wake wa zamani Radamel Falcao apone haraka na kusema "soka inamhitaji Falcao" katika fainali zijazo za kombe la dunia.

Mshambuliaji huyo wa Monaco, hatocheza msimu mzima baada ya kupata maumivu makubwa ya goti mapema mwezi huu, na mpaka sasa hakuna uhakika wa kwenda kushiriki kwenye michuano ya dunia mwezi 6 mwaka huu.

Hata hivyo daktari ambaye amemfanyia opasuaji mshambuliaji huyo wa zamani wa Atletico amesema anaweza kupona mapema na kushiriki World Cup na Cristiano Ronaldo ana matumaini Falcao atapona na kurejea dimbani mapema.


"Ujumbe pekee ninaoweza kumpa ni kwamba ninajua ana nguvu sana na mjasiri mno, ninatumaini atapona haraka na arudi dimbani kwa sababu soka inamhitaji Falcao.

"Kombe la dunia na timu ya Colombia inamsubiri. Naomba apone haraka na kurudi kucheza. Ni kitu ambacho wote tunataka kama familia ya soka."


Falcaoalikuwa mmoja wa mastaa wakubwa wa La Liga kabla hajajiunga na Monaco wakati wa kipindi cha kiangazi kilichopita na alikuwa na upinzani na Ronaldo mara kwa mara ukizingatia timu zao ni pinzani pia. 

Na shaffihdauda.com

MH. PINDA AZINDUA RASMI MAPITIO YA MFUMO WA UWEKEZAJI TANZANIA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda (kulia) akikata utepe kuzindua ripoti ya hali ya Uwekezaji nchini Tanzania leo jijini Dar es salaam. Pamoja na mambo mengine ripoti hiyo imegusia sera na na maendeleo ya uwekezaji nchini pamoja na changamoto zinazokwamisha ustawi wa uwekezaji Tanzan

"BAYERN WANAFANYA KILA NJIA KUTUDHOOFISHA ILI TUSIWE TISHIO KWAO" - ASEMA CEO WA DORTMUND

Borussia Dortmund CEO Hans-Joachim Watzke ametoa tuhuma kwamba mahasimu wao Bayern Munich wana lengo la kuidhoofisha timu yake kwa kuwasajili wachezaji wao muhimu.

Bayern tayari imeshamsajili Mario Gotze kutoka BVB na hivi karibuni wametangaza kwamba Robert Lewandowski atajiunga na timu yao akitokea Dortmund mwezi June mwaka huu.

MH. MIGIRO AITEMBELEA TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA

 Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanazania,Mh. Jaji Aloysius Mujulizi (kushoto) akimpokea Waziri wa Katiba na Sheria,Mh. Dkt. Asha Rose Migiro wakati alipokuwa akiwasili kwenye ofisi za Tume hiyo na kukutana na Watumishi wa Tume,jijini Dar es Salaam.Anaefuata nyuma ya Mh. Migiro ni Naibu Waziri wa Katiba na Sheria,Mh. Angela Kairubi.

MAOMBI YA MSAADA KWA AJILI YA KIJANA MANSOOR.

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjJ0yEg3tfnzDQ4Xka3NRLXhXhYOeVcDlxR5PGRKQzE2oHXcL5a6g6SOEaADVrWv_Pt59F36SGsbTDcua7LJWHPcP-mbG4pElmwEWuaJc6A9EYnqSai_WpBASxGBHpiGPs428HYny-V00o/s1600/1556276_10201549954774642_1942368657_o.jpg

CHANGAMKIA NAFASI MPYA ZA KAZI INTER-CONSULT LTD MWISHO TAREHE 25/2/2014

Senior Materials Engineer
Inter - Consult Ltd
Area: Dar Es Salaam
Position Description:
Inter-consult Ltd is a leading, dynamic ISO 9001. 2008 Certified Multidisciplinary Consultancy Company operating in Tanzania and the East f ican Region for over 30years offering services ranging from studies Designs, Supervision to Management of projects in the infrastructure sector.
It is a one-stop-shop for professional services housed under one roof at their headquarters-"lnter House" in Dar es Salaam and organized into six Technical Departments.
Civil Engineering
Roads
Land Surveying
Water Supply and Sanitation
Architecture & Town Planning
Structural & Bridge Engineering
Geotechnical Engineering
Mechanical & Electrical Engineering
Quantity Surveying

Pharrell Williams takes the funky park ranger hat that stole the Grammys show out yet again

 It's hat in here: The Get Lucky singer wore the headgear the day after the Grammys to 'The Night That Changed America: a GRAMMY Salute To The Beatles' on Monday
It's hat in here: The Get Lucky singer wore the headgear the day after the Grammys to 'The Night That Changed America: a GRAMMY Salute To The Beatles' on Monday

MKUTANO WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA AU WAFUNGULIWA LEO ADDIS ABABA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Mkutano wa  Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) ambao  umefunguliwa  rasmi  leo tarehe 30 Januari, 2014 mjini Addis Ababa, Ethiopia.

TAMKO ALILOLITOA MZEE JOHN MALECELA LEO

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjQj5wdojxvP5xqXcDcmq7fbLD0gNW29sLgYSyJwKtVTzRpNQRKYd-crZNfanz794rRjIU5EeIUBTQleKhft9Lmk1yi9YwWHLkANFzkWiaJnRhqVpdgD8WiAbIZ_12ylrw2pZX-nujUeKo/s1600/pinda3.jpg
Ndugu zangu waandishi wa habari, awali ya yote naomba niwasalimie na niwapongeze kwa kufika -mwaka mpya 2014, pia naomba niwapongeze kwa kazi kubwa ambayo mmekuwa mkiifanya hasa kuhakikisha watanzania wanapata habari kwa kila jambo linaloendelea kila kona ya taifa letu la Tanzania.

UNIC yaendelea kutoa mafunzo ya mateso ya kambi za wayahudi

DSC_0014
Afisa Habari wa Kitengo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Usia Nkhoma Ledama akizungumza na wanafunzi wa shule ya msingi ya Diamond juu ya umuhimu wa kujifunza mauaji ya kimbari ya wayahudi ya mwaka 1933.

Thursday, January 30, 2014

SHIMESHIME WADAU MSAADA WAKO UNAHITAJIKA KUOKOA MAISHA YA MTOTO MARYAM

Kuna mdada wa miaka 18 Ambaye amejifungua binti anaeitwa Maryam kwa bahati mbaya sana mtoto Huyo alipozaliwa hakua na sehemu ya kutoa choo kikubwa hali ya kwamba sehemu hiyo imefunga. 
 
Kwa ujuzi wa ma daktari wa muhimbili wamemtoboa hapo ubavuni ili atoe choo kikubwa kwa njia hii. 
 
Madaktari walimshauri mama mzazi wa mtoto afanyiwe upasuaji wa kufungua njia ya choo kikubwa akifika mwaka na nusu. Sasa amefika umri na mama mzazi yupo kwenye hali Duni sana na Hana hela ya kumfanyia mtoto upasuaji huo. 
 
Mnaombwa ndugu, jamaa na marafiki tumsaidie mtoto huyu. Haya ni Maisha Yake nawaomba mjitokeze kwa Moyo mkunjufu tumsaidie mtoto hyu. 

Kama Una msaada Wowote ule tafadhali unaweza kupiga namba hii: +255719009004 au Kama upo nje ya Tanzania na umeguswa na hili na unataka kutoa msaada wako tafadhali Tuma kwenye account ya Barclays: Miss S.Yussuf sort code: 207103 acc: 73049328 pia unaweza kutuma kwa njia ya wastern union. Ama kwa TIGO PESA kwa namba+255719009004, Ahsanteni. 
 

KUTOA NI MOYO SI UTAJIRI. MUNGU AWABARIKI SANA.

Operesheni M4C Pamoja Daima-Chadema:Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe Atua na Chopa mjini Mororgoro na kumtambulisha rasmi mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele mbele ya maelfu ya wanachama wa chadema

 Baadhi ya wa mji wa Ifakara wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe mbalimbali, wakati wa mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Daima, ambao ulihutubiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana.
 Mwenyekiti wa Chama ch Demokrasia na Mendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia maelfu ya wakazi wa mji wa Mtibwa katika mkutano wa Operesheni M4C pamoja Daima jana.
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akimtambulisha mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele, wakati wa mkutano wa Operesheni M4C Pamoja Dama, uliofanyika katika Kata ya Tungi mjini Mororgoro jana.
Mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Afande Sele akiwahutubia wananchi wa Kata ya Tungi mjini Morogoro leo, katika mkutano wa hadhaa wa Operesheni M4C Pamoj Daima. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe alihutubia pia.Picha na Chadema

RAIS JAKAYA KIKWETE AWAAPISHA WAZIRI NA MANAIBU WAZIRI IKULU LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri na Manaibu Waziri waliokuwa wakiapisha Ikulu Dar es Salaam, leo wakati alipokuwa akiwasili katika hafla hiyo.

Ubalozi wa Tanzania katika Rwanda usiku wa jana, Jumatano, Januari 29, 2014 ulitoa taarifa kwa vyombo vya habari ikikanusha habari za uongo na uzushi ambazo ziliandikwa mwishoni mwa wiki na gazeti la Serikali ya Rwanda la News of Rwanda.

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Ubalozi wa Tanzania katika Rwanda usiku wa jana, Jumatano, Januari 29, 2014 ulitoa taarifa kwa vyombo vya habari ikikanusha habari za uongo na uzushi ambazo ziliandikwa mwishoni mwa wiki na gazeti la Serikali ya Rwanda la News of Rwanda.

Ifuatayo ni taarifa kamili iliyotolewa na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Rwanda, Mheshimiwa Francis Mwaipaja:

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.

30 Januari, 2014

---
STATEMENT ON CLAIMS BY THE NEWS OF RWANDA

The Embassy of Tanzania in Rwanda is deeply saddened by malicious and untrue reports, published over the weekend by the Rwanda Government Owned Newspaper, The News of Rwanda, in which it accuses the President of the United Republic of Tanzania, HE Jakaya Mrisho Kikwete, of supporting and holding meetings with members of rebel groups opposed to the Government in Kigali.

Indeed, these reports are nothing but a bunch of dangerous lies fabricated by editors of this publication with obvious malicious intent to attack the person of the President of a friendly neighbouring country and create an impression that Tanzania is working with enemies and groups opposed to the Government of Rwanda.

The News of Rwanda, which has gained uneviable notoriety of reporting and publishing malicious, dangerous and perpetual propaganda, quoting unnamed sources claims, among other things, that two founding members of the Rwanda National Congress (RNC) including Dr. Theogene Rudasingwa met secretly in Dar es Salaam with top commanders of the Democratic Forces for Liberation of Rwanda (FDLR).

Given the enormity and dangerous nature of these reports, the Embassy of Tanzania in Rwanda would like to make the following clarification:

1. That the so called founding members of Rwanda National Congress, Dr. Rudasingwa and adviser Condo Gervais together with top commanders of FDLR, namely Lt. Col Wilson Irategeka and Col Hamadi were not in Tanzania last week. Indeed, our records do not show that they have visited Tanzania in the recent years.


2. That, there was no meeting of any kind at any official residences of President Kikwete, either in Dar es Salaam or in Dodoma or anywhere. Indeed, President Kikwete has never met any of those people mentioned anywhere – in Tanzania or outside. Moreover, on the day that News of Rwanda claims that the meeting took place, Thursday 23rd, this month, the President was not even in the country – he was in Davos attending the meeting of the World Economic Forum (WEF).


3. That, the former Prime Minister of Rwanda Faustin Twagiramungu was also not in Tanzania on any or the same mission and did not attend the meeting with representatives of RNC and FDLR as no meeting of such nature took place in Dar es Salaam or anywhere in Tanzania as alleged by this paper. The Immigration Department in Tanzania does not have a record of such people entering or exiting the country.


4. That, The Tanzania Immigration Department has never issued any travel document to any Rwandan citizen including those claimed in the News of Rwanda that they travelled to Mozambique using Tanzanian passports on or around December 20th 2013. It is not the business of Tanzania to issue travel documents to citizens of other countries.


5. That it is also untrue that the so-called, “insider establishment” in Tanzania is providing the base for organization and facilitation for travel for FDLR fighters. It is open secret that there is no presence of even a single FDLR fighter in Tanzania. The News of Rwanda should know better where these fighters are based and operate from.
As mentioned earlier, this report and other similar reports published in recent weeks by the News of Rwanda are not only untrue, baseless and mere fabrication but also dangerous and threatening to the excellent and sound diplomatic and social relations between our two neighbouring countries, both of which are members of the East African Community (EAC).

President Kikwete is deeply hurt by these lies and his humble advice to the editors of this publication is to stop fabricating untrue claims which potentially could create and fuel animosity and confusion among the people of our two neighbouring and friendly countries. At a time when President Kikwete and President Paul Kagame of Rwanda had agreed in Kampala to foster friendly relations, such newspaper claims can only sour the atmosphere and President Kikwete would like to know what the editors of the publication are up to?

The Embassy of Tanzania in Rwanda does not take lightly these allegations by the News of Rwanda given the position that this publication occupies in Rwanda.

MAKAMU WA RAIS DKT.GHARIB BILAL AKUTANA NA MAWAZIRI WA KATIBA NA SHERIA, SAYANSI ELIMU IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Asha-Rose Migiro, wakati alipofika Ofisini kwake kwa Makamu Ikulu Dar es Salaam, leo kwa mazungumzo.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwakaribisha Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof Makame Mbarawa (katikati) wakati walipofika Ofisini kwake kwa Makamu Ikulu Dar es Salaam, leo kwa mazungumzo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof Makame Mbarawa (katikati) wakati walipofika Ofisini kwake kwa Makamu Ikulu Dar es Salaam, leo.Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais

KIPANYA LEO

Mmoja ya basi la mwendo kasi likikatiza mtaa wa Lumumba ikiwa sehemu ya majaribio ya mabasi hayo ambayo yanaaminika yataondoa kabisa tatizo la usafiri katika jiji la Dar es Salaam.

KUTOKA MAGAZETINI LEO ALHAMISI

.

MUUNGANO wa Jamii Tanzania(MUJATA) umeingilia kati sakata la upotevu wa Mtoto wa Miaka mitano uliotokea Wiki iliyopita katika Mtaa ya Ghana Mashariki kata ya Ghana Jijini Mbeya na kuwaagiza waliohusika na kitendo hicho kumrudisha mtoto huyo ndani ya siku tatu.


Steven Uswege(5) alipotea Januari 17, Mwaka huu majira ya saa Tano asubuhi baada ya kwenda dukani kununua pipi akiwa na mwenzie ambapo yeye hakuweza kurudi hadi sasa.
Mwenyekiti wa Mujata,Chifu Soja Shayo Masoko, alipokuwa akizungumza na mamia ya wakazi wa Mtaa wa Ghana waliokuwa wamefurika kujua hatma ya upotevu wa Mtoto baada ya Kamati iliyokuwa imeundwa na Serikali ya Mtaa kuomba msaada kwa Mujata baada ya wao kutafuta bila mafanikio kwa zaidi ya siku kumi.

SASENI MEDIA WAIBUKA NA CHANGAMOTO KWA WAIGIZAJI WA FILAMU TANZANIA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Saseni Media, Bw. Issa Mbura akizungumza katika warsha hiyo kwa wasanii mbali mbali wa filamu hapa nchini.

Kampuni ya Saseni Media, kwa kupitia mpango wake wa kukuza vipaji vipya vya uigizaji na kuvisimamia, iliendesha kwa mafanikio makubwa zoezi la usaili kwa waigizaji wazoefu na wanaochipukia siku ya jumamosi, tar 25 Januari 2014.

Idadi kubwa ya watu ilijitokeza kujisajili na kufanyiwa usaili na kila mwigizaji alionekana kuwa ni mwenye shauku ya kutaka kupata fursa hiyo na hivyo kuonyesha umahiri wake katika uigizaji. Akizungumzia usaili huo, Mkurugenzi wa Kampuni ya Saseni Media, Bw. Issa Mbura amesema

“Zoezi lilienda vizuri na pamoja na kupata vipaji kama lilivyokuwa kusudio letu, pia tumeshuhudia mambo kadhaa yakijitokeza kama changamoto kwa tasnia ya filamu inayotegemea sana waigizaji ili kufanya vizuri,” “Moja, ni kwamba Tanzania kuna waigizaji wengi wanaochipukia na kutafuta fursa za kuigiza kuliko wale wachache tuliozoea kuwaona kwenye luninga zetu,”anasema Mwl. Issa.

MO plans to build a USD 5 billion empire out of Dar

942331_578714148840668_773339795_n
.At the age of 38, Mohammed Dewji employs 24,000 people and claims to contribute 3.5% to Tanzania's GDP. Within the next 5 years, he plans to build a $5 billion empire out of Dar es Salaam.
by Kristin Palitza
What most entrepreneurs don’t achieve in a lifetime, he did in just over a decade. Mohammed Dewji single-handedly turned his father’s trading business into Tanzania’s largest import-export group. He grew Mohammed Enterprises Tanzania (MeTL) 30-fold and increased revenues from $30 million to $1.1 billion by diversifying into a multitude of sectors, including manufacturing, distribution, logistics, financial services, real estate, cement, energy and mobile telephony.
It’s not surprising that many people have a hard time imagining the humble beginnings Dewji comes from. His family, which stems from Gujarat state in western India and was blown in the proverbial dhow across the Indian Ocean, started out with very little. His grandmother opened a small trading shop, which she runs out of their home in Singida, a poverty-stricken town in central Tanzania. In this simple house, built from sand and mud, Dewji was born with the help of a traditional midwife.

Waziri Mpya wa fedha Mh.Saada Mkuya Salum Akutana na Waandishi wa Habari Leo 29/01/2014

 Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari(hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam  kushoto ni Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) Rished Bade.

SHIRIKA LA NYUMBA MBEYA LAMFUNGIA MPANGAJI WAKE NDANI YA DUKA PAMOJA NA WAFANYAKAZI.

Akizungumzia Dirishani kufuatia kufungiwa kwa duka lake na yeye akiwa ndani pamoja na wafanyakazi wake wawili, Mmiliki wa Duka hilo, Boniface Ishabakaki, alisema ameshangaa kufanyika kwa kitendo hicho kwa sababu tayari Mke wake alikuwa ameshaongea na Meneja na kumtumia Fedha kwa njia ya Mpesa tangu saa nne lakini alivyowaeleza walishindwa kumuelewa.

VODACOM PREMIER LEAGUE: KAGERA SUGAR 0 v MTIBWA SUGAR 0, HAKUNA MBABE!

Mgeni rasmi katika kipute hicho alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Misenyi na hapa akisalimiana na wachezaji kabla ya mtanange kuanza katika uwanja wa Kaitaba.

Waziri Mkuu wa Finland afungua Mkutano wa kujadili maendeleo endelevu ya Taasisi za uongozi wa Afrika

 Waziri Mkuu wa Finland,Jyrki Katainen akizungumza wakati wa Mkutano uliokuwa ukijadili maendeleo endelevu ya Taasisi za uongozi wa Afrika ulioandaliwa na Uongozi Institute,uliofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Hyatt Regency,Jijini Dar es Salaam leo.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Leo imewaachia huru Meneja Uendelezaji Biashara wa Mwananchi Communications (MCL), Theophil Makunga, aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa gazeti la Tanzania Daima, Absalom Kibanda na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba.

 Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda akiongea na waandishi baada ya kushinda kesi katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu.

Mwenyekiti wa Chadema, Katibu Mkuu wa Chadema,Mbunge wa Kawe Halima Mdee, Mbunge wa iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa Walivyotua na Chopa Mkoani iringa,Kijiji cha Kigonzile mji wa Ifunda na Kuzindua Operesheni(M4C)Pamoja Daima Maelfu Wajitokeza

   Chopa ya Chadema ikitua na viongozi wakuu wa Chadema uwanja wa Mwembetogwa

Rais Jakaya Kikwete Atembelea kambi za wahanga wa mafuriko hayo kuwajulia hali walioathirika katika makambi yaliyoko Shule ya Sekondari ya Magole katika eneo la Dumila na katika Kijiji cha Mateteni kilichoko Dakawa, Wilaya ya Kilosa.

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na mtoto Amos Msisiri(5) katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni Dakawa Mkoani Morogoro wakati Rais alipokagua maeneo yaliyoathiriwa na Mafuriko yaliyotokea hivi karibuni na kuleta uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu

Wednesday, January 29, 2014

Picha:Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Jimbo la Ulanga Magharibi na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh. Juma Ngasongwa anusurika ajalini huko kibaha,mkoani pwani

  Mh Juma Ngasongwa akikokotwa kuingizwa Hospitali ya Tumbi kupatiwa matibabu baada ya kupata ajali katika eneo la Kibaha jana jioni. Mhe. Ngasoma amenusurika kifo katika ajali hiyo iliyotokea jana jioni Kibaha Picha ya ndege Mkoani Pwani
 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza na Dr Loti Kiwelu akimjulia hali katika Hospitali ya Tumbi Kibaha alipofikishwa kwa ajili ya huduma ya kwanza ambapo alihamishiwa katika Hosipitali ya Muhimbili MOI kwa ajili ya matibabu zaidi.
  Ajali hiyo ilihusisha gari  aina ya Rav 4 mali ya Ngasongwa ambaye alikuwa akiendesha mwenyewe kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Morogoro ambapo kwa mujibu wa Ngasongwa alichomekewa na lori la Tanesco pichani chini.
 Gari la Ngasongwa likiwa limeharibika vibaya.
 Lori la Tanesco lililosababisha ajali hiyo.Picha na Chris Mfinanga

WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WATOA SADAKA KANISA LA KKKT USHARIKA WA MSASANI


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB akizungumza na waandishi wa habari baada ya ibada ya shukrani iliyowashirikisha wafanyakazi wa benki hiyo katikaKanisa la KKKT Usharika wa Msasani.

RESIDENT KIKWETE OPENS THE AGRIBUSINESS CONGRESS EAST AFRICA IN DAR ES SALAAM

 President Jakaya Mrisho Kikwete arrives at the Serena Inn in Dar es salaam to officially open the Agribusiness Congress East Africa , 28 JANUARY, 2014
 Warm welcome from the Serena staff
 Heading for the function hall