SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Thursday, January 30, 2014

Rais Jakaya Kikwete Atembelea kambi za wahanga wa mafuriko hayo kuwajulia hali walioathirika katika makambi yaliyoko Shule ya Sekondari ya Magole katika eneo la Dumila na katika Kijiji cha Mateteni kilichoko Dakawa, Wilaya ya Kilosa.

 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na mtoto Amos Msisiri(5) katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni Dakawa Mkoani Morogoro wakati Rais alipokagua maeneo yaliyoathiriwa na Mafuriko yaliyotokea hivi karibuni na kuleta uharibifu mkubwa wa mali na miundombinu
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mahema yaliyowahifadhi wahanga wa Mafuriko katika kijiji cha Magole,mkoani Morogoro wakati alipotembelea maeneo yaliathiriwa na mafuriko na kuwapa pole wananchi jana.
 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Daraja la Mto Mkundi mkoani Morogoro linalokarabatiwa baada ya kuharibiwa na mafuriko hivi karibuni.Rais Kikwete alitembelea eneo hilo na sehemu nyingine zilizokumbwa na mafuriko hayo kujionea uharibifu
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua nyumba zilizoharibiwa na mafuriko katika kijiji cha Mateteni, Dakawa Mkoani Morogoro jana.
 Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Daraja la Mto Mkundi mkoani Morogoro linalokarabatiwa baada ya kuharibiwa na mafuriko hivi karibuni.Rais Kikwete alitembelea eneo hilo na sehemu nyingine zilizokumbwa na mafuriko hayo kujionea uharibifu
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasaidia watoto kuteka maji katika kisima kilichipo katika kijiji cha Mbigiri kata ya Mateteni, Mkoani Morogoro wakati alipotembelea maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko jana.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua nyumba zilizoharibiwa na mafuriko katika kijiji cha Mateteni, Dakawa Mkoani Morogoro jana.Picha na Freddy Maro-IKULU

0 comments:

Post a Comment