SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Tuesday, February 16, 2016

Biashara ya Bajaj iendeshwe na walemavu tu

1.Kutoka kushoto ni Muasisi wa Chama Cha watu wenye ulemavu waendesha Bajaj, Aly Issa,  Mwenyekiti wa Chama Cha Watu wenye ulemavu Taifa, John Paul na Katibu Mkuu Muasisi wa Chama hicho,Juma Bilal.
Kutoka kushoto ni muasisi wa chama cha watu wenye ulemavu waendesha Bajaj, Aly Issa, Mwenyekiti wa Chama Cha Watu Wenye Ulemavu Taifa, John Paul na Katibu Mkuu Muasisi wa Chama hicho, Juma Bilal.
2.Wanahabri wakifuatilia mkutano huo.
Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.
Na Denis Mtima/Gpl
CHAMA cha watu wenye ulemavu nchini (CHAWATA) kimeiomba serikali iruhusu biashara ya usafiri wa Bajaj mijini ifanywe na watu wenye ulemavu tu
Haya yalisema leo jijini Dar es Salaam na mwenyekiti wa Chama cha Walemavu nchini (CHAWATA) Bw. John Paul wakati akizungumza na wanahabari kuhusu kuwajengea mazingira mema na rafiki walemavu katika matatizo wanayoyapata katika usafiri na shughuli mbalimbali.
Mbali na matatizo hayo, Paul alizungumzia pia kuwapatia walemavu elimu ya kutosha ili kuepusha manyanyaso na kunyayapaliwa wanakofanyiwa katika jamii.
Akisisitiza kuhusu walemavu kupewa biashara ya kusafirisha watu kwa Bajaji, mwenyekiti huyo alisema hilo litawapunguzia matatizo walemavu ikiwa watatengewa kufanya biashara hiyo ambayo hivi sasa hufanywa na watu wengi ambao si walemavu.
Alisema kwa walemavu kufanya biashara hiyo, wataweza kujipatia vipato kwa ajili ya familia zao ambayo huwategemea.(

0 comments:

Post a Comment