Mkurugenzi wa mawasiliano Airtel Tanzania, Beatrice Singano, akiwa ameshikilia simu huku akitoa maelekezo namna ya kuupigia kura mlima Kilimanjaro kura BURE kupitia Airtel ili uweze kuingia kwenye maajabu saba ya Dunia hadi tarehe 11 novemba 2011.
Ofisa Uhusiano wa Bodi ya Utalii Tanzania, Geofrey Tengeneza, akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari. Kushoto ni Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano wakati wa hafla fupi ya kutangaza Ofa kwa wateja wa Airtel kupigia kura mlima Kilimanjaro bure. Tuma KILI kwenda 15771 sasa.




0 comments:
Post a Comment