SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, April 2, 2016

SERIKALI YAWASHUKURU WADAU WAMICHEZO WALIOISAIDIA TWIGA STARS

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura akizungumza na wachezaji wa Timu ya Taifa Wanawake (Twiga Stars) alipokutana nao leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Mpira Miguu Wanawake (TWFA) Bi. Amina Karuma na Makamu Mwenyekiti wa TWFA Bibi. Rose Kisiwa.
Baadhi ya wachezaji wa Twiga Stars wakifuatilia mkutano baina yao na Naibu Waiziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (hayupo pichani) leo jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Mpira Miguu Wanawake (TWFA) Bi. Amina Karuma akifafanua jambo wakati wa mkutano baina ya Naibu Waiziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (katikati) na wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) leo jijini Dar es Salaam. Kulia niMakamu Mwenyekiti wa TWFA Bibi. Rose Kisiwa.
Meneja wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) Bibi. Furaha Francis akielezea jambo wakati wa mkutano baina ya Naibu Waiziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (hayupo pichani) na wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) leo jijini Dar es Salaam.
Mchezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) Bi.Fatuma Omary akielezea jambo wakati wa mkutano baina ya Naibu Waiziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia James Wambura (hayupo pichani) na wachezaji wa Timu ya Taifa ya mpira wa miguu Wanawake (Twiga Stars) leo jijini Dar es Salaam.Picha na Frank Shija, WHUSM.

0 comments:

Post a Comment