SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, May 16, 2015

Kerry aitaka China kupunguza misukosuko

http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/07/09/140709040930_john_kerry_624x351_reuters.jpg
Waziri wa mashauri ya kigeni wa Marekani John Kerry amezumgumzia misukosuko inayozidi kuongezeka kusini mwa bahari ya China alipokutanma na viongozi wa vyeo vya juu wa chama cha Kikomisti mjini Beijing.
Ameitaka China kuchukua hatua ili kupunguza misukosuko eneo hilo. Marekani inasema kuwa China imejenga miradi ya ardhi ya karibu ekari 800 kwenye visiwa vya Spratly mwaka mmoja uliopita.
Nazo meli za jeshi la marekani zimekuwa zikipiga doria kwenye visiwa vya spatry ambavyo vinadaiwa na china na nchi zingne tano.
China inaamini kuwa Marekani inazichochea nchi za Asia kukabiliana nayo katika kudai maeneo ya bahari.
CHANZO: NA BBC SWAHILI

0 comments:

Post a Comment