Balozi wa Misri nchini Tazania Bw. Wael Adel Nasr (kulia) akimkabidhi mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Said Mwema vifaa vya matibabu na dawa zenye thamani ya dola za Marekani laki tano ambazo ni sawa na shilingi za kitanzania zaidi ya milioni 700 kusaidia huduma za afya katika hospitali ya jeshi la polisi kikosi cha Afya makao makuu (Kilwa Road)ambayo huhudumia familia za askari na wananchi leo jijini Dar es salaam.




0 comments:
Post a Comment