SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, June 7, 2010

BRAZIL yatoka kifua mbele kwa kuifungaTAIFA STARS mabao 5-1

Brazil national team     
   Ule mtanange wa soka uliokuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa sana na mashabiki na wapenda kandanda wa Tanzania na nje ya nchi ya Tanzania, Leo umefikia kikomo baaada ya Brazil kuifunga Taifa Stars mabao 5 kwa 1 la kifutia jasho.
   Mabao hayo kwa upande wa Brazil yalifungwa na wachezaji Robhino,Ramires na Kaka,kwa upande wa Taifa Stars bao hilo la kufutia machozi lilifungwa na mchezaji Aziz. 
   Ilikuwa  ni mechi ya kirafiki Brazil wakiwa katika matayarisho  kuelekea kwenye kombe la 
Dunia Afrika ya Kusini 2010.
NA ALLY S> MGIDO"S

0 comments:

Post a Comment