SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, April 15, 2016

UTAFITI WABAINI WATANZANIA HUTUMIA MUDA MWINGI KWENYE SHUGHULI ZISIZO ZA UZALISHAJI

Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akihutubia wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Matokeo ya Utafiti wa Watu wenye Uwezo wa Kufanya Kazi wa mwaka 2014/2015 uliofanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS). Uzinduzi huo umefanyika jana Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dkt. Albina Chuwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ripoti ya Matokeo ya Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya Kazi wa mwaka 2014/2015 uliofanywa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS). Uzinduzi huo umefanyika jana Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akionyesha vitabu vya ripoti ya Utafiti wa Watu Wenye Uwezo wa Kufanya Kazi wa mwaka 2014/2015 wakati wa uzinduzi wa ripoti hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Karimjee Hall Jijini Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment