SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Tuesday, March 4, 2014

Picha na Matokeo:Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kutoka Wilaya ya Bagamoyo, Ridhiwani Kikwete Ashinda Kura Za Maoni Jimbo La Chalinze

Masanduku ya Kura za Maoni yakiwa na Kura
 Mgombea wa Ubunge Jimbo la Chalinze-CCM Ridhiwani Kikwete akiomba kura na kunadi sera zake
Wanacham wa CCM Bagamoyo wakijipanga tayari kupiga kura
  Mgombea wa Ubunge Jimbo la Chalinze-CCM Ridhiwani Kikweteakipiga kura yake
Kutoka Kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kutoka Wilaya ya Bagamoyo, Ridhiwani Kikwete, na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Iman Madega.
-
Taarifa zinasema matokeo ya kura za maoni yanaonesha:
Waliopiga kura ni 1,321.

  Kura halali ni 1,306.
  Kura zilizoharibika ni 5.

*Rizwani amepata  kura 758
*Imani Madega Amepata Kura  335
*Athuman Ramadhan Maneno- Amepata Kura  206
*Changwa Mohamed mkwazu -Amepata Kura  12

0 comments:

Post a Comment