SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, January 12, 2015

klabu za michezo za maveterani Dar es salaam zarehemu marehemu leo (Mapinduzi Day) Leaders club, Kinondoni, jijini Dar es salaam


 Sheikh Hilal Shaweji akitoa neno kwa wadau wa michezo katika ibada ya kuwakumbuka wasanii na wanamichezo mbalimbali waliotangulia mbele ya haki, ibada hiyo imefanyika katika viwanja vya Leaders Club kinondoni jijini Dar leo.
Padre John Solomon akitoa neno kwa wadau na wanamichezo katika ibada ya kuwakumbuka waliotangulia mbele ya haki  iliyofanyika leo katika viwanja vya leaders Club jijini Dar es Salaam.
Balozi Mstaafu  Sisco Mtilo Akiwakaribisha wadau katika ibada ya kuwaombea waliotangulia mbele ya haki na Ibada  hiyo imefanyika katika viwanja vya leaders Club jijini Dar es Salaam.
 Padre John Solomon akiongoza ibada ya kuwaombea wasanii na wanamichezo mbalimbali waliotangulia mbele ya haki iliyofanyika kaika viwanja vya leaders Club.
Wadau wakiwa wamesimama katika ibada ya kuwaombea wasanii na wanamichezo waliotangulia mbele ya haki iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
 Wadau wakifuatilia ibada maalumu ya kuwaombea wa wanamichezo na wasanii waliotangulia mbele ya haki iliyofanyika katika viwanja vya leaders Club jijini Dar es Salaam.
 Wadau wakifuatilia ibada maalumu ya kuwaombea wa wanamichezo na wasanii waliotangulia mbele ya haki iliyofanyika katika viwanja vya leaders Club jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya Wadau mbalimbali waliojitokeza kwenye shughuli hiyo mapema leo katika viwanja vya leaders Club,Kinondoni jijini Dar. 
 Sehemu ya wakina mama  wakiwa wamesimama katika ibada ya kuwaombea wasanii na wanamichezo mbalimbali iliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Pichani kati ni Rais wa TFF,Jamal Malinzi,kushoto ni Mbunge wa Kinondoni Idd Azzan wakisikiliza mawaidha katoka kwa Sheikh Hilal Shaweji 

 Ulifika wakati wa chakula cha pamoja. 
Wadau wakiwa katika foleni ya mnuso katika Ibada ya kuwakumbuka waliotangulia mbele ya haki .

0 comments:

Post a Comment