Hii picha
imekuwa ikisambaa sana kwenye mitandao ninaomba kama kuna mtu anafahamu
uwezekano wa kupatikana kwa watoto hawa kwenye hii picha. Msamaria
mwenye nia ya kuwasaidia ameomba jina lake lisitajwe bali anaomba yoyote
anayefahamu jinsi ya kuwapata hao watoto atume email kwa
Asante sana!
CHANZO: Mjengwa Blog
0 comments:
Post a Comment