SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, November 14, 2014

KAMPUNI YA MAFUTA YA ENGEN YAANDIMISHA MIAKA 21 TANGU KUANZISHWA KWAKE

" Happy Birthday To Us........"
 Wadau wa ENGEN wakiendelea kuchukua taswira mbali mbali wakati wa kusherehekea Miaka 21 ya kuanzishwa kwa kampuni yao.
 Wadau wa ENGEN katika pozi la picha.
 Cheaaaazzzzzz........

 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya ENGEN Tanzania,Mubita Akapelwa (wa tatu kulia) akizungumza jambo wakati wa Sherehe yao ya kuadhimisha miaka 21 ya kuanzishwa kwa Kampuni yao,katika tafrija fupi iliyofanyika leo kwenye Makao Makuu ya Kampuni hiyo,Kurasini jijini Dar es Salaam.

 Picha ya pamoja.
 Meneja Masoko wa Kampuni hiyo,Shaaban Kayungilo akipitisa sahani ya Keki kwa wafanyakazi wenzake.
 "Kata Kekiiii ......Tuleeeeee...... Kata Kekiiiii........."Mkurugeni Mkuu akilifanya zoezi hilo.
 Mdau Yonah Nkurlu akifurahi baada ya kufungua shampeni.
 "Boss chukua keki" 
 Wadau wakifanya mambo ili kunogesha sherehe hiyo.
 Keki ikikatwa vipande vipande.
 Meneja Masoko wa Kampuni hiyo,Shaaban Kayungilo akichua kipande cha Keki iliyokatwa vyema na Dada Jullieth Lwato (alieshika sahani) wakati wa Kusherehekea Miaka 21 ya kuanzishwa kwa Kampuni hiyo,ambayo husherehekewa kila Mwaka ifikapo tarehe kama ya leo,iliyofanyika kwenye Makao Makuu ya Ofisi za Kampuni hiyo,Jijini Dar es Salaam.
 Wadau wakijisevia keki.
NA ANKAL MICHUZI

0 comments:

Post a Comment