SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Wednesday, July 16, 2014

Mkenya ashinda tuzo ya Cane

Mkenya Okwiri Oduor ndiye mshindi wa tuzo la Caine - inayotolewa kwa waandishi maarufu zaidi wa Kiafrika.

Mkenya ashinda tuzo ya Cane
Mkenya Okwiri Oduor ndiye mshindi wa tuzo la Caine - inayotolewa kwa waandishi maarufu zaidi wa Kiafrika.
Tuzo hiyo ilitangazwa hapo jana Oxford Uingereza na mshindi huyo amenyakuwa zawadi ya pauni alfu kumi kwa hadithi yake 'My Father's Head'.
Hadithi hiyo ilikuwa miongoni mwa nyengine nne zilizoteuliwa kugombea tuzo hiyo.
Amesifiwa kwa kuwa mwandishi aliyetumia ustadi mkubwa kuishughulikia mada yenye majonzi makubwa.
Odeo Sirari alizungumza na Bi Okwiri Oduor muda mfupi tu baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hiyo.
Alisema hakutarajia kuibuka mshindi.

0 comments:

Post a Comment