SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, September 30, 2013

Jumuiya ya waKenya DMV waomboleza mauwaji ya Westgate


_DSC5346_7fca4.png
MC Humphrey OneMic Muturi akiwa Mbele ya mjengo wa Abraham Lincoln Memorial Jijini Washington, D.C., kwa ajili ya kuomboleza mauwaji ya Westgate.
994603_532097310209374_2094062797_n_32cbc.jpg
Wakenya kutoka sehemu mbalimbali duniani wameungana na wenzao katika maombi na ishara za matumaini kwa wenzao wa nchini Kenya.(P.T)
65036_532087836876988_1409503866_n_c6352.jpg
Baadhi ya waKenya kutoka sehemu mbalimbali hapa DMV Siku ya Jumapili Sept 29 walikutana Mbele ya mjengo wa Abraham Lincoln Memorial Jijini Washington, D.C kwa maombolezo ya mauwaji yaliotokea jijini Nairobi siku ya Jumamosi Sept 29 ndani ya Westgate Mall jijini Nairobi Kenya.
1381567_532092906876481_1434818568_n_9821a.jpg
Pastor Maurice Kinyanjui akifungua hafla hiyo kwa dua maalumu ya maobolezo ya mauwaji ya Westgate yaliofanyika Mbele ya mjengo wa Abraham Lincoln Memorial Jijini Washington, D.C
1381214_532096473542791_1210482955_n_4aa54.jpg
Jumuiya ya waKenya na rafiki wa wanajumuia hao walikutana Mbele ya mjengo wa Abraham Lincoln Memorial Jijini Washington, D.C., kwa ajili ya kuwakumbuka, kuwaombea na kuwapa matumaini wenzao walioathirika na tukio hilo.
9411_532107810208324_616912281_n_61c92.jpg
Walianza kwa ufunguzi kuwaombea dua walioathirika na tukeo hilo lilitokea Siku ya Jumamosi Sept 21, ambapo kundi la Al shabab walivamia na kuteka eneo la sehemu kubwa ya jengo la kibiashara Westgate Mall Jijini Nairobi Kenya
1383089_532106933541745_694309079_n_8b653.jpg
1383971_532107323541706_1719921663_n_0aaa4.jpg
1240111_532107156875056_1825582902_n_d4800.jpg
Waliendelea kwa kukumbushana mengi yakiwemo kusisitiza kwa upendo wa kua kitu kimoja bila ya kujali tafauti zao na kuvumilia kwa yote yaliotokea kwani Kenya ni nchi ya amani.
Siku nane tangu kutokea kwa shambulio la kigaidi nchini Kenya, lililoua zaidi ya watu 67 na kujeruhi wasiopungua 175..

Jumuiya ya waKenya DMV waomboleza mauwaji ya Westgate, Siku nane tangu kutokea kwa shambulio la kigaidi nchini Kenya, lililoua zaidi ya watu 67 na kujeruhi wasiopungua 175.
CHANZO: Mjengwa Blog 

0 comments:

Post a Comment