

Treni la harusi likiingia katika kanisa la Mtakatifu Petro Oysterbay jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma

Farida na Paul wakiwa wanasubiri muda wao wa kulishana viapo

Mimi...Farida Hussein Muyinga namchukua Paul Herman Kirigini kama mume wangu.....

Mimi....Paul
Herman Kirigini...naapa kwamba nitampenda nitamtunza na nitamuenz
Farida Hussein Muyiga kama mke wangu wa ndoa, Eeeee Mwenyezi Mungu
Nisaidie

Paul akila kiapo

Farida akila kiapo

Pete hii iwe....

Nakuvish pete hii...

Mmmmmmmmwwwwwwwaaaaaaaaa!

Si mnaona?? Imetoka hiyoooo....!

Paul akisaini hati ya ndoa

Farida akimwaga wino

Sasa tumekuwa mwili mmoja....

Hongera kwa maharusi toka kwa mdau Deo Mwanyika

Furaha na vigeregere

Haooo wanaondoka na kaLimo kao

Ujumbe umefika

Pozi ndani ya Sea Cliff Hotel

Maharusi na wapambe wao

Bi Harusi na wapambe wake

Paul na wapambe

Bi harusi na wapambe

Totooooooo.....

Maharusi na wazaa chema

Ukumbi ulipambwa na kupambika

Viti vinaulizana...Ah, mbona hawaji jamani....

Jukwaa kuu

Bonge moja la keki

Spray kwa maharusi

Haya na mnuso na uanze

Baadhi ya waalikwa

Msahau kwao mtumwa....

Dansi la kwanza

Champeni

Chiaaaaazzzzzzzzzzzzzzz....

Keki tyme

Duh! Bonge lote hilo mshikaji....

Haya na wewe basi

Mmmmmmmwwwwwwwwaaaaaaaaaaaaaa........

Wazaa chema pokeeni keki hii

Asante baba kwa heshima uliyonipa

Haya, Mwenyekiti wa kamati yuko wapi

Kwa niaba ya kamati pokea keki hii ikiwa kama shukrani yetu kwenu kwa kufanikisha harusi hii

Suprise cake: Kumbe leo ni Hepi Besdei ya kuzaliwa Paul....

Keki kwa ajili ya Paul

Hepi Besdei Mume wanguu...

Kamati ndogo lakini imefanya makubwa
CHANZO: MICHUZI MATUKIO




0 comments:
Post a Comment