SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, September 30, 2013

YALIYOJIRI KWENYE TAMASHA LA "TUKO WANGAPI? TULIZANA"

Wafanyakazi wa Tulizana wakiwaamasisha wananchi waliofika kwenye viwanja vya Leaders Clubs kupima Virus vya Ukimwi na pia kutoa elimu ya maambukizi ya Virus hivyo
Mmoja wa wafanyakazi akimweleza jambo kwa umakini kijana aliyekuja  kupima ili aweze kutoka kwenye mtandao wa ngono kwenye viwanja vya Leaders Club
Mmoja wa wananchi waliochangia damu kwenye tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" kwenye viwanja vya Leades Clubs jana mchana
Mfanyakazi wa Tulizana akitoa elimu kuhusu matumiza ya Kondom aina ya Dume  kwa vijana waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana"
Baadhi ya wafanyakazi wakiwa wamepumzika baada ya kazi ngumu ya kuelimisha jamii juu ya kuachana na mtandao wa mapenzi  ambao unaweza kusababisha maambukizi ya vurus vya UKUMWI wakati wa Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Mfanyakazi wa Tulizana akitoa elimu kuhusu matumiza ya Kondom aina ya Salama  kwa vijana waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Upimaji wa Afya ukiendelea

ENDELEA KUTIZAMA TUKIO ZIMA KWA KUBOFYA HAPA CHINI



Mfanyakazi wa Tulizana akitoa jinsi gani wataondoa mtandao wa kuwa na wapenzi wengi elimu  kwa vijana waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Vijana wakisikiliza kwa umakini elimu wanayoipata juu ya maambukizo ya Ukimwi na hasa katika utumiaji wa mipira wakati wa mapenzi waliofika kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
Vijana wakisikiliza kwa umakini elimu wanayoipata juu ya maambukizo ya Ukimwi na hasa katika kuondoa mtandao wa kuwa na wapenzi wengi kwenye Tamasha la "Tuko wangapi? Tulizana" lililofanyika kwenye viwanja vya Leaders Club
KWA HABARI ZAIDI NA PICHA BOFYA HAPO CHINI:
 PICHA ZOTE NA PAMOJAPURE /PAMOJA BLOG

0 comments:

Post a Comment