SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Wednesday, October 23, 2013

JAMAL MALINZI AZINDUA KAMPENI YAKE YA KUGOMBEA URAIS TFF


Mgombea Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF 2013, Jamal Malinzi akizindua kampeni yake leo jijini Dar, mbele ya waandishi wa habari na wadau wa mpira wa miguu ambapo alielezea mikakati yake mbali mbali ya kuendeleza soka.
Mgombea Urais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF 2013, Jamal Malinzi akiongea na vyombo vya habari.
Wajumbe wa vyama vya soka nchini Tanzania wakifuatilia uzinduzi wa kampeni.
Waandishi wa habari wakiwa kwa wingi kufuatilia mgombea Jamal Malinzi wakati akimwaga sera zake mbele ya wajumbe.

0 comments:

Post a Comment