SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, May 20, 2013

FFU WAPAMBANA NA WAMACHINGA IRINGA MJINI JANA

  Mbunge wa jimbo la Iringa mjini-Chadema mchungaji Peter Msigwa akiwasili eneo la vurugu kabla ya kuanza kwa vurugu hizo
 Mbunge wa Iringa Mjini-Chadema Mch Msigwa akiondoka eneo la mashine tatu 
Wafanya Biashara  Machinga wakisukuma gari ya mbunge wa iringa Mjini-Chadema Mch Msigwa
 Kikosi Cha Kutiliza Ghasia FFU Mkoani Iringa kikiwasili
  Hali ikiendelea kuwa tete kwa machinga kufunga barabara kuu ya Iringa Dodoma na ile ya mashine tatu
Ni Machafuko Iringa hivi leo
Mmiliki wa mtandao huu mzee wa matukio daima akinawa maji baada ya kupigwa bomu la machozi
Abiria na wapiga debe stendi kuu wakinawa maji baada ya kupigwa mabomu na kumwagiwa maji ya kuwasha na askari wa FFU leo.
Picha na Abdalah Hamis
CREDIT TO H@KI NGOWI

0 comments:

Post a Comment