SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Tuesday, December 11, 2012

Mazungumzo baina ya Serikali ya DRC na waasi wa M23 yanaendelea jijini Kampala.

http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2012/12/drc.jpg
Mazungumzo baina ya ujumbe wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo pamoja na waasi wa kundi la M23 yameanza yanaendelea mjini Kampala Uganda, chini ya usuluhishi wa mwenyekiti wa nchi za kanda ya maziwa makuu. Mazungumzo hayo yameendelea, licha ya mkasa uliotokea juzi, baada ya ujumbe wa waasi kuilaumu serikali ya Kongo kuwa inawafadhili waasi kutoka nchi jirani na walio tishio kwa usalama wa nchi hizo pamoja na raia wa mashariki mwa Kongo.

0 comments:

Post a Comment