Makamu wa Balozi wa Brazil nchini Mhe. Ronaldo Vieira akiwakaribisha wageni katika Maonyesho ya Mchezo wa Kapoeira yaliyofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Utamaduni wa Russia.
Mhe. Ronaldo amesema kwa mara ya Kwanza mchezo wa Kapoeira ulizinduliwa nchini Tanzania Mwezi June mwaka jana na kwa jijini Dar es Salaam mafunzo ya mchezo huo yanafanyika katika kituo cha Fitness Centre Msasani jijini Dar es Salaam na kuwakaribisha Wakazi wote wa jijini kuhudhuria mafunzo ya Mchezo huo.
Mhe. Ronaldo amesema kwa mara ya Kwanza mchezo wa Kapoeira ulizinduliwa nchini Tanzania Mwezi June mwaka jana na kwa jijini Dar es Salaam mafunzo ya mchezo huo yanafanyika katika kituo cha Fitness Centre Msasani jijini Dar es Salaam na kuwakaribisha Wakazi wote wa jijini kuhudhuria mafunzo ya Mchezo huo.
Kulia ni Balozi wa Russia nchini Mhe. Alexandr A. RANNIKH naye alikuwa ni miongoni mwa wapenzi wa mchezo huo.
Wadau wakifuatilia kwa umakini Historia ya mchezo huo kutoka kwa Mestra Janja.
Makapoelista wakimsiliza Mwalimu wao.
Kwa Habari zaidi Bofya Hapo Chini
0 comments:
Post a Comment