Abiria wakisubiri gari lingine ili waendelee na safari yao baada ya ajali kutokea.
Kwa mujibu wa abiria waliokuwa ndani ya basi hilo, walisema basi hilo lilipinduka baada ya kutaka kulikwepa gari dogo na kujikuta likitumbukia mtaloni kutokana na hali ya mvua na ukungu uliokuwa umeenea barabara nzima. Hakuna mtu aliyekufa katika ajali hiyo.
Gari hilo baada ya kupinduka.
Picha kwa hisani ya Kajunason Blog.
0 comments:
Post a Comment