
Kama
unavyoona pale ukutani utambulisho wa show ulikuwa hivi, sho yao ilikuwa
nzuri na inaonyesha jamaa walijipanga sana.

Show ya
mwisho au wimbo wa mwisho ulikuwa ni RMX ya wimbo wa Mkono juu ambao
wameimba Chege, Temba, Wahuu na Godzilla.
B12
kutoka
XXL ya
Clouds FM ndiye aliyekuwa
MC wa show hii ya Uzinduzi wa Chege na
Temba pale
Club Sun Cirro.

Hawa ni
watu kwa upande wa chini walikuwa hivi bado mzunguko wa juu na kule VIP
ilikuwa nyomi pia.


Akafuatia
mwanadada Wahuu kutoka Nairobi Kenya, na showa yake ilikuwa matata
sana.


Vijana
kutoka THT nao hawakuwa nyuma katika kutoa show kali na siku zote
usiwapimie vijana hawa.
NA DJ CHOKA
0 comments:
Post a Comment