Hali ya
mchafukoge imeendelea kuikumba nchi ya Iraq ambapo watu 23 wameuawa na
wengine 55 kujeruhiwa baada ya gazeti lililokuwa limetegwa bomu kuripuka
katika mji wa Khales ulioko kaskazini mashariki mwa mji mkuu Baghdad.
Mlipuko huo uliotokea sokoni, umesabisha mauaji makubwa zaidi katika
kipindi cha wiki nzima iliyopita. Itakumbukwa kuwa Ijumaa iliyopita
miripuko miwili ilitokea katika mji wa Tal Afar na kupelekea watu 25
kuuawa na wengine 120 kujeruhiwa.Saturday, May 22, 2010
Mlipuko wa bomu wapelekea watu 23 kuauwa na 55 kujeruhiwa nchini Iraq
Hali ya
mchafukoge imeendelea kuikumba nchi ya Iraq ambapo watu 23 wameuawa na
wengine 55 kujeruhiwa baada ya gazeti lililokuwa limetegwa bomu kuripuka
katika mji wa Khales ulioko kaskazini mashariki mwa mji mkuu Baghdad.
Mlipuko huo uliotokea sokoni, umesabisha mauaji makubwa zaidi katika
kipindi cha wiki nzima iliyopita. Itakumbukwa kuwa Ijumaa iliyopita
miripuko miwili ilitokea katika mji wa Tal Afar na kupelekea watu 25
kuuawa na wengine 120 kujeruhiwa.
Posted by
Ally Shaaban Mgido's
at
Saturday, May 22, 2010
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook




0 comments:
Post a Comment