SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, August 2, 2010

MGOMBEA URAIS WA NCCRA MAGEUZI ACHUKUA FOMU TUME YA UCHAGUZI
Mgombea urais kupitia chama cha NCCR Mageuzi Bw. Hashim Spunda Rungwe akipokea fomu za kugombe urais kupitia chama hicho kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Jaji Lewis Makame wakati alipochukua fomu hizo katika ofisi za Tume ya Uchaguzi jijini Dar es salaam leo, Katikati anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Tume hiyo Bw. Rajab Kiravu
Mgombea urais kupitia chama cha NCCR Mageuzi Bw. Hashim Spunda Rungwe akisaina fomu zake za kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR Mageuzi mara baada ya kuchukua katika ofisi za Tume ya Uchaguzi leo kulia ni Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Rajabu Kiravu.

0 comments:

Post a Comment