SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, August 2, 2010

Kocha Mpya wa Taifa Stars awasili nchini
Kocha mpya wa timu ya soka ya Tanzania 'Taifa Stars' Jan Paulsen, raia wa Denmark, akizungumza na waandishi wa habari katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar usiku wa kuamkia leo baada ya kuwasili kwa ajili ya kuanza rasmi kazi ya kuinoa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' akichukua nafasi ya Mbrazil Marcio Maximo aliyemaliza muda wake juni 26 mwaka huu.

0 comments:

Post a Comment