SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Wednesday, June 23, 2010



New Maisha Club kuzinduliwa kesho

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya EML Francis Anthony Ciza Majey akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa Club maisha mapema leo
asubuhi,shoto ni meneja wa club hiyo Allan Ngugi
Moja ya sehemu mbili za Ma DJ Kila sehemu kumetakata
Mlango wa kuingilia New Maisha Club iliyoko Oysterbay jijini Dar umewekwa 'ChwiChwiChwi' (metal detector) kujihami na uingiaji na silaha ama chuma
New Maisha Club kwa nje. Bwawa la kuogelea halipo tena hapo mbele
sehemu ya juu ndani ya New Maisha Club
Sehemu ya ndani
ukumbi wa kusakatia libeneke. New Maisha Club iliyokuwa Maisha Club kabla ya kuteketea kwa moto mnamo Novemba 8 mwaka jana inafungua milango kwa wadau kuanzia kesho ambapo sherehe ya uzinduzi kukata na shoka inaandaliwa. Kwa wale ambao hawakuona habari ya awali ya kuungua kwa Maisha club ama wanaotaka kujikumbushia:
BOFYA HAPA
michuzi blog

0 comments:

Post a Comment