SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, June 11, 2010

Kombe la dunia, Tanzia kwa Mandela


Zenani Mandela, Kitukuu wa Nelson Mandela afariki
   Kitukuu wa Nelson Mandela Zenani Mandela amefariki dunia.
Afisi ya uhusiano mema katika wakfu wa Nelson Mandela imesema kuwa msichana huyo wa miaka 13 alifariki katika ajali ya barabarani iliyompata hapo jana akiwa njiani kutoka sherehe za mkesha wa kombe la dunia mjini Soweto.
   Duru za polisi zimesema uwa dereva aliyesababisha ajali hiyo amekamatwa.
Huku hayo yakiarifiwa, mechi ya kwanza kabisa ya kombe la dunia kuwahi kufanyika barani Afrika inatazamiwa kuanza wakati wowote kati ya wenyeji Afrika Kusini na Mexico.
   Timu 32 zinachuana kuwania kombe hilo baada ya mwezi mmoja na aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela anatarajiwa kuhudhuria sherehe ya ufunguzi leo jioni.
BBC SWAHILI

Organising Committee expresses its condolences to the Mandela Family

Organising Committee expresses its condolences to the Mandela 
Family
Johannesburg, 11 June 2010 - The 2010 FIFA World Cup Organising Committee South Africa (OC) is saddened to learn of the death of Zenani Mandela, who was killed in a car accident last night. Zenani Mandela (13 years old) is the great-grand-daughter of Nelson Mandela, South Africa’s first democratic President.
“On behalf of everyone at the Organising Committee, I would like to express my condolences to the Mandela family. Please know that you will all be in our thoughts today,” said OC Chairman Dr Irvin Khoza.
“Last year Zenani did us the honour of bringing the FIFA Confederations Cup trophy out onto the podium at the final at Ellis Park on 28 June. We are saddened to hear of her tragic passing and will remember her fondly,” said OC CEO Dr Danny Jordaan.
fifa.com

0 comments:

Post a Comment