Rapa mwenye ‘swagger’ za Ja-Rule Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’.
Na Musa Mateja
Uonevu! Rapa
mwenye ‘swagger’ za Ja-Rule Bongo, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’, anadaiwa
kukwaa kisanga kingine kibaya baada ya kukurupuka kutoka nyumbani kwake
na kwenda kumvamia staa mwenzake, Rehema Chalamila ‘Ray C’ nyumbani
kwake anapoishi na kumtwanga makonde ikiwa ni siku chache tangu jamaa
huyo apate msala mwigine wa aina hiyo.



