SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, February 13, 2016

SHEIKH GHALIB MONERO NA UJENZI WA MSIKITI NA KITUO CHA WATOTO MKURANGA

CHANZO : BOFYA HAPA
Alhamdullilah tunaendelea vyema na Project yetu No 2 , tunamshukuru M/Mungu katika Majengo yetu Matatu. Tumeweza malizia Jengo la Msikiti , Madrasa na fremu kama mnavyo ona katika picha .


Kwa uwezo wa Mungu na kwa kuunga Mkono kwenu ki Michango ya hali na mali tunaingia katika hatua nyengine mpya ya kuandaa maandilizi ya masomo na mazingira bora la kupokea vijana, Kituo chetu tutasomesha hasa vijana ambao wapo katika Mazingira magumu na wale wanaoishi vijijini ambao wamekosa fursa ya elimu. Tunawakaribisha katika kushiriki kukamilisha jambo letu hili katika hatua hii muhimu.

Ombi letu kwenu:
1.Magodoro Madogo - tayari yamepatikana ya kuanzia.

2.Neti za Mbu , shuka , mito n.k

3.Vyombo vya kupikia na vyombo muhimu vya kutunzia maji .

4.Vyakula  vya Nafaka kwa mwanzo wa safari.

5.Fenicha za ofisi yetu , Computer na vifaa muhimu ambavyo tunaweza vitumia katika Project yetu.

Tunawakaribisha mtembelee kituo chetu kwa atakae kuwa na nafasi .

Michango zaidi tunayo ihitaji ni ya ki  UJENZI (Vifaa)hasa CEMENT kwani baada ya kukamilika yote tuliyo yataja juu kutakuwa na zoezi la kuzungusha uzio na  Alhamdulillah tofali 10,000 zipo site Mapungufu yetu ni Cement na Gharama za Mafundi. Kwa yeyote aliye tayari katika kheir hii Tafadhali .

Mawasiliano :- 0673800772 (Tigo Pesa)
0715800772 (Tigo -Pesa)

0689604780 (Airtel - Money)
Namba zote Usajiri jina GHALIB MONERO.

Kwa walio nje waweza tuma Mchango wakupitia Western Union .

RECIVER NAME :- GHALIB NASSOR MONERO.

Waweza tembelea facebook kwa Updates zaidi :-  Kijana wa Kiislam Dsm.

NAWASHUKURU MUNGU AWALIPE KHEIR NA MRATIBU MSIMAMIZI . GHALIB NASSOR MONERO.
 MSIKITI KWA MBELE
JENGO LA OFISI ZA KITUO
 Madrasa kwa muonekano wa mbele

 JENGO LA MSIKITI KATIKA HATUA ZA MWISHO KUMALIZIKA

NDANI YA MSIKITI

0 comments:

Post a Comment