SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Friday, September 18, 2015

Are You PLAYING A Game That You Can Win

Kwa mfumo wetu wa Elimu, tulianza darasa la kwanza tukiwa almost na miaka 7

Meaning tulihitimu,tukiwa na almost miaka 13 hadi 14

Sekondari,mpaka form IV miaka 17 hadi 18. . .mpaka form VI,miaka 19 au 20

Elimu ya Juu,tumehitimu tukiwa na almost miaka 24 mpaka 25

Kutafuta ajira,walau mwaka mzima hadi miwili, so ki umri, unaanza kazi kati ya miaka 27,hadi 28

Kwa mujibu wa sheria,umri wa kustaafu, ni miaka 60 kiserikali. So utafanya kazi,kwa miaka isiyozidi 32

Tumefundishwa,kwamba samaki mkunje angali m'bichi

Wazazi wetu,walianza kukunjwa,wakiwa sanjari na tulivyo sisi leo 60yrs, wanapewa "Kiinua Mgongo" meaning, wanainuliwa, kutoka ktk kukunjwa ambako walikunjwa tangu wangali wabichi

Nini kitatokea sasa wanapoinuliwa wakiwa wamekauka?

Imagine kama mshahara wako(take home)ni 500,000

Inamaanisha utakuwa umelipwa jumla, ya Mil 192,000,000 ktk kipindi chote cha ajira yako

Hata take home yako ikiwa 1,000,000 hizo ni jumla ya Mil 318,000,000 (1,000,000 x 12 x 32)

Ukilipwa Pension ya walau 10% ya mapato yako yote, hizi zitakuwa takriban Mil 19,200,000 ama 31,800,000

Hata Pension wise ukilipwa 20%,hizo ni Mil 38 au 76 tu

Na unazipigia hesabu leo 2015,kwamba ndizo unazozisubiri, 32 yrs to come

What will be its "value for money" by then,32yrs frm nw?

Economy Flactuations je?
Utajenga kweli? Utanunua viwanja?

Watoto je? Utapeleka Universities?

Au mpango wako wa mwisho ni kula rushwa na kupiga "mabao" ofisini ili kujisogeza sogeza mwisho wa mwezi?

Je! ungependa kuufanyia kazi mpango kazi utakao kufikisha kwenye kiwango cha pension yako ktk miaka 3/4 badala ya kuzisubiri pension za Mil 38 au 76(na hapo bado hazijakatwa kodi) kwa miaka 32 baadaye?...

TAFAKARI..CHUKUA HATUA!

0 comments:

Post a Comment