SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Wednesday, June 24, 2015

MASHINDANO YA KILIMANJARO AMBASSADOR KUFANYIKA JULAI 24 MWAKA HUU

 Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwakipewa maelekezezo na mwalimu  Omary Bokilo leo katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi wakiwa katika picha ya pamoja leo katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam.
 Katibu mtendaji wa Rick Plan co.Ltd, Sebu Panya akizungumza  kuhusiana na mashindano ya   wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi leo
 katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam.Katikati ni Mkurugenzi wa Rick Plan co.Ltd, Jaquline Chuwa na Mkuu wa itifaki  wa Rick Plan co.Ltd, Angeris Faber.

Mkurugenzi wa Rick Plan co.Ltd, Jaquline Chuwa akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari leo  kuhusiana na mashindano ya   wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshikushoto ni Mkuu wa itifaki  wa Rick Plan co.Ltd, Angeris Faber. 
PICHA NA EMMENUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII.

0 comments:

Post a Comment