SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Thursday, May 14, 2015

WIZARA YA FEDHA YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI KUHUSU MABORESHO YA MATUMIZI YA FEDHA

 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Fedha, Ingiahed Mduma, akizungumza wakati alipokuwa akiendesha mafunzo maalum kwenye Warsha ya siku tano kwa waandishi wa Habari, kuhusu Mradi wa Maboresho ya Matumizi ya Fedha za Umma, inayoendelea kwenye Hoteli ya Njuweni Hoteli,Kibaha. 
 Baadhi ya washiriki wa Warsha hiyo, wakifuatilia na kumsikiliza mwenzao, Joachim Mushy, wakati akiuliza swali kwa mwendesha Warsha kuhusu Maboresho hayo.
 Baadhi ya wanahabari, wakiwa bize ku update habari katika mitandao yao ili kuwajuza wasomaji wao kuhusu mafunzo hayo.
  Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini na Msemaji wa Wizara ya Fedha, Ingiahed Mduma, akizungumza wakati alipokuwa akiendesha mafunzo maalum kwenye Warsha hiyo. 
 Baadhi ya washiriki wakifuatilia mada zilizokuwa zikizungumziwa.
 Baadhi ya Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha waliohudhuria Warsha hiyo, pia wakifuatilia mada.
Warsha ikiendelea......

0 comments:

Post a Comment