Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akifungua mkutano wa 4 wa kitaifa kuhusu uboreshaji Viwango vya
huduma ya Afya. Mkutano huo ulifanyika jana Octoba 31-2014 katika ukumbi
wa mikutano wa Benki kuu ya Tanzania jijini Dar es salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akikabidhi tunzo za waliofanya vizuri katika vigezo mbalimbali
vya uboreshaji viwango vya huduma ya Afya kwa Mkurugenzi wa huduma za
uuguzi Hospitali ya Bugando jijini Mwanza Sister Viola Mumishi Katika Mkutano wa 4 wa kitaifa kuhusu uboreshaji wa Viwango vya huduma ya Afya. Mkutano huo ulifanyika leo Octoba 31-2014 katika ukumbi wa mikutano wa Benki kuu ya Tanzania jijini Dar es salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akiwasikiliza wahudumu wa mfuko wa bima ya Afya NHIF
alipotembelea mabanda ya maonesho kwenye mkutano wa 4 wa kitaifa kuhusu
uboreshaji Viwango vya huduma ya Afya. Mkutano huo ulifanyika katika
ukumbi wa mikutano wa Benki kuu ya Tanzania jijini Dar es salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akipata maelezo kutoka kwa Afisa ustawi wa Jamii Damel Masunzu
alipotembelea banda la Wizara ya Afya kwenye maonesho uboreshaji Viwango
vya huduma ya Afya. Katika Mkutano wa 4 wa kitaifa kuhusu uboreshaji wa
Viwango vya huduma ya Afya. Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa
mikutano wa Benki kuu ya Tanzania jijini Dar es salaam.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal katikati akiwa katika picha ya pamoja wa washiriki wa Mkutano wa 4 wa kitaifa kuhusu uboreshaji wa Viwango vya huduma ya Afya.
0 comments:
Post a Comment