Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda ambaye ni mlezi wa kikundi cha Wake waViongozi (NEW MELLENIUMWOMEN GROUP) akimsikiliza
kwa makini Mama Maria Nyerere wakati wanachama wa walipo mtembelea Mama
Nyerere nyumbani kwake kwa ajili yakumjulia hali pamoja na kumpatia
zawadi mbalimbali kutokana na mchango wake mkubwa aliokuwa anampa Baba
wa Taifa ambao ulisaidia kuleta amani utulivu na maendeleo ndani ya
nnchi na nnje ya Tanzania.
Mama
Maria Nyerere na MamaTunu Pinda wakiangali picha zao walizo pigwa na
Mama Othmani kwenye simu ya kiganjani wakati kikundi cha wake wa
viongozi(NEW MELLENIUMWOMEN GROUP) walipo mtembelea Mama Nyerere nyumbani kwake Msasani kumjulia hali.
0 comments:
Post a Comment