SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, March 1, 2014

Strabag waamiliwa kufungua barabara.

b2ap3_thumbnail_3.jpg
Wakati foleni ikizidi kupamba moto jijini Dar es salaamu  waziri wa Ujenzi, Dr. John Magufuli, amemtaka mkandarasi Kampuni ya Strabag inayojenga Barabara ya Morogoro, kufungua barabara zilizokamilika  ili kuwapunguzia wananchi adha ya foleni wanayokumbana nayo kila siku.
 Pia Magufuli amemtaka mkurugenzi wa jiji kuhakikisha anabomoa vibanda vilivyosalia katika stendi ya mabasi yaendayo mikoani Ubungo, kana hawezi kuwaambia ambomoe mwenyewe mwenyewe.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam wakati akitembelea Mradi wa Barabara ya Mabasi yaendayo kasi (DART), inayoanzia Kivukoni hadi Kimara na kueleza kuwa kama mkurugenzi huyo anang’ang’ania kutokuvunja vibanda hivyo vinavyotumika kutoza ushuru kwa abiria, avunjike yeye.(yaani magufuli)
CHANZO: BOFYA HAPA

0 comments:

Post a Comment