SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Sunday, December 22, 2013

KASEJA AANZA NA GUNDU YANGA ATUNGULIWA 3-1 NA SIMBA

 Kiongozi wa Simba Hans Pope, akimpongeza Henry Joseph, baada ya mchezo huo.
 Meneja wa Yanga, Afidh Ally akipokea mfano wa hundi ya zaidi  sh. 98 milioni Kwa kuibuka washindi katika shindano la Nani Mtani Jembe kwa kupata kura nyingi katika unywaji wa bia ya Kilimanjaro.
Wachezaji wa Simba na baadhi ya viongozi wao wakipozi na kombe lao kwa furaha baada ya kukabidhiwa kombe hilo kwa kuifunga Yanga katika mchezo wa Nani Mtani Jembe, uliochezwa kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo Simba wameibuka washindi kwa.kuichapa Yanga mabao 3-1, mabao ya Simba yalifungwa na Hamis Tambwe mawili na Ramadhan Singano huku la kufutia machozi la Yanga likifungwa na Emmanuel Okwi.
Picha Zote na Muhidin Sufiani

0 comments:

Post a Comment