SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Sunday, October 20, 2013

Askari wa kupambana na ujangili wadaiwa kufanya mauwaji ya kutisha.



Askari 12 wanaodhaniwa kuwa kikosi kinachopambana na vitendo vya ujangili katika hifadhi ya taifa ya Tarangire Wilayani Babati mkoani Manyara wanadaiwa kufanya mauaji ya kutisha baada ya kumteka nyara mkulima mmoja mkazi wa mji mdogo wa Galapo ambaye hajulikani alipo na kisha kumtesa na kumshambulia kwa kipigo mke wa mkulima huyo na kusababisha kifo chake kutokana na kile kinachodaiwa kuhusika katika vitendo vya ujangili.
 

0 comments:

Post a Comment