SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, September 23, 2013

TANZANIA YAZINDUA RASMI SIKU YA TEMBO KITAIFA JANA

 Gari la Maliasili likiwa limebeba Meno ya Tembo, wakati wa kujiandaa na Maandamano kuelekea Mlimani City kwa ajili ya maadhimishoya jana

 Msanii wa Muziki wa Kitanzania, Mrisho Mpoto akianza kuongoza maandamano kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuelekea Ukumbi wa Mlimani City jana.
 Maandamano ya Siku ya Tembo yakiwa yanaendelea kuelekea ukumbi wa Mlimani City kwa ajili ya Kongamano hilo.
 Wasanii wa Mrisho Mpoto wakiwa wamebeba chatu katika maadhimisho ya Siku ya Tembo Kitaifa jana.
Mkurugenzi wa wanyamapori  Wizara ya maliasili na utalii Prof. Alexander Songorwa akisoma Hotuba kwa niaba ya Waziri wa Maliasili na utalii.
 Wadau mbalimbali wa utalii na kupinga mauaji dhidi ya Tembo wakiwa wanafuatilia kwa umakini maadhimisho ya Siku ya Tembo kitaifa.
 Wanafunzi kutoka Shule ya Jitegemee wakiwa wanafuatilia kwa umakini Maadhimisho hayo
Mrisho Mpoto akiwa anatumbuiza katika Maadhimisho hayo ya siku ya Tembo.
Mmoja ya waratibu wa Shuguli za Siku ya Tembo kitaifa Issa Isihaka kushoto akifuatilia kwa umakini siku ya Tembo kitaifa

 Picha ya Pamoja ya Viongozi Mbalimbali wa Serikali na wadau.

PICHA NA BLOGS ZA MIKOA

0 comments:

Post a Comment