SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, November 3, 2012

Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lamuaga Rasmi Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Jenerali Mstaafu, Abdulrahman Shimbo

Baadhi ya Vikosi vya Jeshi la Wananchi la Tanzania(JWTZ)Vikipita kutoa heshima kwa Mnadhimu Mkuu Mstaafu wa JWTZ, Luten Jenerali, Abdulrahman Shimbo

  Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luten Jenerali, Abdulrahman Shimbo akisindikizwa Kwa kusukumwa na Maofisi Wakuu Waandamizi wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)wakati wa sherehe za kumuaga
Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luten Jenerali, Abdulrahman Shimbo akikagua gwaride rasmi wakati wa sherehe za kumuaga
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange akipeana mkono na Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luten Jenerali, Abdulrahman Shimbo (kushoto) wakati wa sherehe za kumuaga.
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, (CDF), Jenerali Davis Mwamunyange, akimkabidhi cheti cha utumishi baada ya kustaafu, Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Jenerali, Abdulrahman Shimbo (kushoto), katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam
  Mnadhimu Mkuu Mstaafu wa JWTZ, Luten Jenerali Mstaafu, Abdulrahman Shimbo
 Baadhi ya maofisa wa JWTZ katika sherehe ya kumuaga Luten Jenerali, Abdulrahman Shimbo
  Luten Jenerali, Abdulrahman Shimbo akipeana mkono na mama yake mzazi
Baadhi ya ndugu na jamaa wakimpongeza Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luten Jenerali, Abdulrahman 

0 comments:

Post a Comment