SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Sunday, October 28, 2012

MDAU WA JAHAZI YA CLOUDS FM, CAPTAIN ARNOLD KAYANDA ALIKACHA JAMVI LA UKAPERA

Mtangazaji wa Kipindi cha Jahazi ndani ya Radio Clouds FM,Arnold Kayanda akiwa pamoja na Mai Waifu wake Aneth wakati wakiingia kwenye hafla ya Ndoa yao iliyofanyika usiku wa Kuamkia leo kwenye Viwanja vya Karemjee,jijini Dar es Salaam.
Bw. Arnold Kayanda na Bi. Aneth Kayanga wakilishana keki.
Wakikabidhi keki kwa Wazazi.
Wapambe wakiwa wamevalia mavazi nadhifu kabisaaa.
Wakiingia Ukumbini.
Mdau akiwapokea Maharusi kwa Dansi zito.
Maharusi wakiingia.
Maharusi na Wapambe wao.
Keki na Champagne.
MC Kibonde akiliongoza Jahazi la sherehe hiyoo.

Maharusi wakikata kekii.
CHANZO: BOFYA HAPA

0 comments:

Post a Comment