SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Thursday, October 18, 2012

Mbunge Maalum Sheikh Dor Atiwa Mbaroni


Mbunge Maalum, Sheikh Mohamed Dor, amekamatwa na maafisa wa upelelezi , CID, kutokana na uhusiano wake na vuguvugu la MRC, hususan ufadhili wake. Dor amekamatwa leo asubuhi nyumbani kwake katika mtaa wa Runda, hapa Nairobi, alipo zuiliwa na kuhojiwa . Viongozi wa Kiislamu mjini Mombasa na hapa Nairobi hata hivyo wamejitokeza kukashifu kukamatwa kwa Dor wakidai matamshi yake kuhusiana na vuguvugu la MRC sio kinyume cha sheria, huku wakipanga kikao hapo kesho kujadili mwelekeo watakaochukuwa endapo hatawawekwa huru.
SOURCE: CLICK

0 comments:

Post a Comment