Mshauri wa Masuala ya Kiuchumi wa UNDP Bw. Amarakoon Bandara (katikati) akiwasilisha ripoti hiyo kwa wageni waalikwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa ripoti hiyo. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa ESRF Dk. Hoseana Lunogelo.
Dk. Hoseana Lunogelo akitoa tathmini yake kuhusiana na ripoti hiyo wakati wa kipindi cha majadiliano.

Wadau wa Umoja wa Mataifa na wageni waalikwa wakisikiliza hotuba ya mgeni rasmi katika hafla hiyo.
Mgeni rasmi katika hafla hiyo, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Peniel Lyimo, akitoa hotuba ya uzinduzi huo ambapo ameelezea umuhimu wa kuwa na ripoti kama hizo kwa kuwa zinatoa muelekeo halisi wa maendeleo ya dunia katika nyanja mbalimbali. Kutoka kushoto ni Dk. Hoseana Lunogelo, Amarakoon Bandara na Alberic Kacou.
Peniel Lyimo, akikata utepe kuashiria uzinduzi huo akisaidiwa na Alberic Kacou. Uzinduzi ukifanywa rasmi.
Wawakilishi wa ofisi mbalimbali za ubalozi, Umoja wa Mataifa na viongozi wa serikali katika uzinduzi huo.




0 comments:
Post a Comment