SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Saturday, October 22, 2011

KIJANA MMOJA ALIYEHITAJI MSAADA WA MAZISHI, AFANYA UTAPELI NA KUTOKOMEA KUSIKOJULIKANA

Afisa mtendaji wa mtaa wa Maendeleo kata ya Iyunga jijini Mbeya Bi Tabu Sengo Tabu ambaye ametapeliwa simu yekye thamani ya shilingi 90,000/= kijana mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Geogre Ramsi aliyedai kuwa ametokea jijini Tanga,  alifika katika uongozi wa serikali hiyo kuomba msaada wakumzika ndugu yake aliyedaiwa amejifungua na kufariki katika Hospitali ya Rufaa Meta jijini hapa.
Dereva akiwa na pikipiki iliyokodiwa na kijana tapeli George Ramsi aliyedai kufiwa na ndugu yake aliyejifungua katika hospitali ya Rufaa Meta kwa njia ya operasheni ambaye naye alitapeliwa simu yenye thamani ya shilingi 80,000/= za kitanzania na fedha zilizokuwa katika akaunti ya MPESA shilingi70,000/=
 Bwana Elias Mwakyusa aliyeitwa kusaidia kuzika akiwa amefika kwa fundi seremala kubeba misalaba.
 Fundi seremala Bwana Maiko Mwakalonge aliambiwa  atengeneze misalaba yenye thamani ya shilingi 10.000/= na kijana tapeli George Ramsi ambapo hakuweza kulipwa.
Habari Zaidi Endelea =======>>

0 comments:

Post a Comment