MAKAMU
WA RAIS DK GHARIB BILAL AKUTANA NA KATIBU MKUU WA UMOJA WA MATAIFA BAN
KI MOON
NA KUUNGURUMA JIJINI NEW YORK KWENYE MKUTANO WA UMOJA WA
MATAIFA KUHUSU UGONJWA WA UKIMWI
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisoma hotuba yake wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Umoja wa Mataifa
kuhusu Ugonjwa wa Ukimwi, unaoendelea jijini New York.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Ban Ki
Moon, wakati alipokutana naye kwa mazungumzo ofisini kwake jijini New
York, jana Juni 8, 2011 baada ya kuhudhuria ufunguzi wa mkutano wa
Umoja wa Mataifa kuhusu Ugonjwa wa Ukimwi, unaoendelea jijini hapa.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Mohammed Gharib
Bilal,( wa tatu kushoto) akisaini katika kitabu cha wageni baada ya
kuwasili kwenye Ofisi ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) Ban Ki
Moon(wa tatu kulia)kwa ajili ya mazungumzo jijini New York,jana Juni 8,
2011. Picha na Muhidin Sufiani-Ofisi Ya Makamu Wa Rais
0 comments:
Post a Comment