SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, March 7, 2011

Man United yaangukia pua, tena

 Liverpool imeichapa Manchester United kwa mabao 3-1, katika mchezo wa ligi kuu uliochezwa kwenye uwanja wa Anfiled.
Dirk Kuyt alifunga mabao yote hayo matatu katika mchezo uliotwaliwa zaidi na Liverpool.
Mabao hayo yalifungwa katika dakika za 34, 39, na 65.
Bao pekee na la kufutia machozi lilifungwa na Havier Hernandez katika dakika ya 90.
United wanasalia kileleni wakiwa na pointi 60, huku Liverpool wakiisogelea Tottenham kwa kufikisha pointi 42, huku Spurs wakiwa na 47.

0 comments:

Post a Comment