SONYA_FLAWLESS_IMG
WE CREATE GREATNESS. | Professional Networker | Global Business Builder | Health And Wellness Coach | YOUR DREAM OUR PLAN.

Monday, April 18, 2011

MAREHEMU FIVE STAR WAFANYIWA KISOMO CHA AROBAINI

Mbunge wa Temeke, Zuberi Mtemvu, ( kushoto) na Mbunge wa Ilala, Iddi Hassani Zungu wakisoma dua.
WANAMUZIKI 13 wa kundi la muziki wa taarabu la Five Star waliofariki katika ajali ya gari katika eneo la Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, Morogoro, mwezi Machi mwaka huu, jana walifanyiwa hitma katika ukumbi wa PTA uliopo katika Viwanja vya Maonyesho ya Biashara vya Sabasaba jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa mamia ya watu waliohudhuria ni pamoja na Mbunge wa Temeke, Zuberi Mtemvu, na Mbunge wa Ilala Hassani Zungu.
Habari Zaidi na Picha: BOFYA HAPA

0 comments:

Post a Comment