Makamu Wa Rais Akutana Na Waziri Wa Mawasiliano Na Uchukuzi Wa Zambia Leo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal kulia, akisalimiana na Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi wa Zambia Profesa Geoffrey Ligwangwa wakati Waziri huyo alipokwenda nyumbani kwa Makamu wa Rais Oysterbay Dar es salaam leo kwa ajili ya kumkabidhi Ujumbe Maalum wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kutoka kwa Rais Ruphia Banda wa Zambia
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Mohamed Gharib Bilal kulia, akisalimiana na Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi wa Zambia Profesa Geoffrey Ligwangwa wakati Waziri huyo alipokwenda nyumbani kwa Makamu wa Rais Oysterbay Dar es salaam leo kwa ajili ya kumkabidhi Ujumbe Maalum wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kutoka kwa Rais Ruphia Banda wa Zambia
0 comments:
Post a Comment