CCM YAZINDUA RASMI KAMPENI ZAKE VIWANJA VYA JANGWANI LEO!!










Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wakiwa wamefureika kwenye mkutano wa Uzinduzi wa kampeni za Chama hicho uliofanyika leo mchana kwenye viwanja vya Jangwani ukihutubiwa na wagombea urais wa Chama hicho Rais Jakaya Kikwete na Mgombea Mwenza Dr. Mohamed Ghalib Bilal.
0 comments:
Post a Comment