Balozi Peter Kallaghe Awasili Nchini Uingereza
Balozi mpya wa Tanzania nchini Uingereza, Mheshimiwa Peter Kallaghe akiwa katika picha ya pamoja na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu ambaye yupo nchini Uingereza kwa shughuli za kikazi.
Balozi mpya wa Tanzania nchini Uingereza, Mheshimiwa Peter Kallaghe akipokelewa na wafanyakazi wa ubalozini hapo.
akisalimiana na baadhi wa wafanyakazi wa ubalozini hapo pindi alipokuwa amewasili.



0 comments:
Post a Comment